Wolper Alia na Mastaa Kutomsapoti Katika Biashara Yake

Wolper Alia na Mastaa Kutomsapoti Katika Biashara Yake  STAA wa Bongo Movies, Jacquline Wolper amesema kuwa mastaa wengi hawapendi kupeana ‘sapoti’, kiasi kwamba hata kama staa mwenzao akiwa na biashara yake wapo radhi kununua kwingine lakini si kwake, ili tu wamkomoe.

Akichonga na gazeti hili, Wolper alijitolea mfano kwa kusema kuwa tangu amejiingiza kwenye biashara ya ushonaji, watu wengi ambao wamekuwa wateja wa biashara zake ni wa kawaida tu na wasanii wenzike hawazidi hata watatu. “Unapofanya maendeleo kwa sisi mastaa wenzako si kwamba wanapenda.
 Wananuna ndiyo maana huwezi kuwaona wakikusapoti,” alisema Wolper. 

Comments

Popular posts from this blog

Waigizaji 10 wa kike wenye damu ya Afrika wanaong’aa Hollywood Marekani

Tanzia: Mbunge wa Songea Mjini Gama Kuzikwa Kijijini Kwao Likuyufusi

Dogo Aslay Hizi Sasa Sifa Zimezidi Kipimo..Umetuzalilisha Wanawake