KUTOKA IKULU: Kuhusu Taarifa za Uteuzi wa Katibu Mkuu Ndumbaro Kutenguliwa

 Kumekua na Taarifa zilizosambaa kuanzia saa kadhaa zilizopita kwamba Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Dr. Laurian Ndumbaro.

IKULU imetoa taarifa jioni hii na kusema taarifa hizo sio za kweli vilevile Wananchi wazingatie kupokea taarifa sahihi kutoka kwenye mamlaka na vyombo rasmi vya serikali.

Comments

Popular posts from this blog

Waigizaji 10 wa kike wenye damu ya Afrika wanaong’aa Hollywood Marekani

Tanzia: Mbunge wa Songea Mjini Gama Kuzikwa Kijijini Kwao Likuyufusi

Dogo Aslay Hizi Sasa Sifa Zimezidi Kipimo..Umetuzalilisha Wanawake